Mchawi ni mjinga siku zote kwa kuwa haibi mali bali anakutesa tu hata kama ni masikini — Bob Riza Swahili Copy Share Image
Wanasema ukikalia mafiga ni vibaya kwa mtoto wa kiume ''mababu hao — Bob Riza Swahili Copy Share Image
Tatizo lisikie kwa mwenzako tu...likikupata wewe utakiona cha moto — Bob Riza Swahili Copy Share Image