Swahili Quote by Bob Riza Download Open image “Uwezi kuipata kesho bora kama unaiwaza jana” — Bob Riza ★ ★ ★ ★ ★ 2.9 out of 5 (10 ratings) Copy quoteShare Swahili
Kaash aasoun ke saath yaadein beh jati kaash ye khamosi sab kuch keh jati kaash kismat tumne likhi hoti to shayad meri kismat me… — ZhatsPrincess Copy Share Image
Lanka dahan hona baaki tha kyunki hamara jawaan hona baaki tha — Raanjhanaa Movie Dhanush Copy Share Image
“Hutaweza kufikia malengo yako kikamilifu bila msaada wa wataalamu – Hata kama una kipaji au ujuzi kiasi gani.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Kama una akili, kama una uwezo wa kuota ndoto, na kama wewe ni mchapakazi hodari, hakuna kitakachoshindikana.” — Enock Maregesi Copy Share Image
Usina Bandz hauna Spark,Chakakosha kutsvaga mari asi kana waita mari usarwadziwe nekuidya — Mc FreshFeelin Copy Share Image
“Usipofanya kazi kwa bidii na maarifa utaendelea kuuliza Mbagala tupande daladala gani, badala ya kuuliza Mbagala tupite njia gani.” — Enock Maregesi Copy Share Image
Mchawi ni mjinga siku zote kwa kuwa haibi mali bali anakutesa tu hata kama ni masikini — Bob Riza Copy Share Image
Mchawi ni mjinga siku zote kwa kuwa haibi mali bali anakutesa tu hata kama ni masikini — Bob Riza Copy Share Image
“For the rest of my life, Zanzibar will be the Swahili word for rain. The rain would drizzle, spit, mist, downpour, shower, torrent, gust,… — Kristine K. Stevens Copy Share Image
Kujiepusha na kidogo chenye kuumiza ni bora, kuliko kuwa na kingi chenye kukufurahisha. — Lc The DreamKid Copy Share Image
Tunaishi duniani hali ya kutenda maovu usiku na mchana na kudhani kuwa tutaipata pepo hali ya kusahau kuwa Adam kosa moja tu ndilo lililomtoa… — Lc The DreamKid Copy Share Image