Hasira zinaweza kumfanya mtu achukue uamuzi wowote ule 'mbaya au mzuri'' — Bob Riza Hasira Copy Share Image
Hata raisi naye huwa anaenda msalani na anafurahi au kununa kama mtu wa kawaida — Bob Riza Swahili Copy Share Image
Ujinga wa wachawi ni kwamba hawakuibii mali wala pesa bali kukukaba na kukutesa tu — Bob Riza Swahili Copy Share Image
Bora uamini kuwa mungu yupo ili ukimkosa iwe sawa tu kuliko kutomwamini kisha ukamkuta — Bob Riza Swahili Copy Share Image
Hakuna makalio yaliyochongoka 'nenda popote pale duniani hutoyakuta — Bob Riza Swahili Copy Share Image
Kama ukimwi ungekuwa binadamu basi ungekuwa na dhambi nyingi sana — Bob Riza Swahili Copy Share Image