“Mungu anaishi ndani ya damu, maisha ya Mungu yalikuwa yanaishi ndani ya mwili wa Yesu Kristo, anaishi ndani ya miili yetu. Unapokula… — Enock Maregesi Blood Copy Share Image
“Sina jinsi. Nguzo ya maisha yangu ni historia ya maisha yangu. Historia ya maisha yangu ni urithi wa watu waliojifunza kusema hapana… — Enock Maregesi Choice Copy Share Image
“Polisi wa kituo cha kati cha Coyoacán kumbe hawakuwa mbali na sehemu zile. Walipoona gari zikifukuzana waliona ujanja ni kuwakatisha Vijana wa… — Enock Maregesi Automobile Copy Share Image
“Kipo kitu kinaendelea kufanyika katika siku zetu za furaha na katika siku zetu za huzuni kwa kila mmojawetu hapa duniani bila ya… — Enock Maregesi Air Copy Share Image
“Unapokumbana na matatizo makubwa katika maisha yako ujue Mungu ana mpango maalumu na maisha yako. Ndiyo maana Shetani anakuandama hivyo.” — Enock Maregesi God Copy Share Image
“Tajiri bila maskini ni maskini na bila tajiri maskini ni tajiri. Tajiri akiwa na maadili, maskini atakuwa tajiri.” — Enock Maregesi Maskini Copy Share Image
“Tunapenda kuamini kwa sababu kuamini hurahisisha mambo… Usiamini. Jua.” — Enock Maregesi Believe Copy Share Image
“Behave professionally and let any bad feelings out of life!” — Enock Maregesi Bad feelings Copy Share Image
“Mateso yalishakuwa mengi, na Murphy alishakata tamaa. Kesho yake alitamani sana aione lakini hakukuwa na dalili yoyote ya maadui kumwacha hai. Walivyomning’iniza… — Enock Maregesi Criminals Copy Share Image
“Maskini mwenye pesa nyingi ni tajiri bahili. Tajiri mwenye mifuko iliyotoboka ni tajiri badhiri.” — Enock Maregesi Economist Copy Share Image
“Shetani ni mjanja sana. Anajua bila elimu hataweza kutawala dunia, baada ya mpango wa Mungu kukamilika. Anajua, mtu akipata elimu ni rahisi… — Enock Maregesi Dunia Copy Share Image
“Tuko peke yetu ulimwengu mzima halafu bado tunagombana na kudharauliana!” — Enock Maregesi Alone Copy Share Image
“Sigara zilizidi kuvutwa, ndani ya nyumba, na magaidi wale wawili, wakati Murphy akisinzia kudanganyia kama kweli nguvu zilishamwisha. Alimfikiria tena mpenzi wake… — Enock Maregesi Cigarette Copy Share Image
“Israeli ilifikia kikomo cha kipindi chake kikubwa cha mafanikio tangu enzi za Sulemani. Taifa lilikuwa tajiri. Lilikuwa na nguvu. Lilikuwa na silaha… — Enock Maregesi God Copy Share Image
“Mungu hababaishwi na matatizo yako. Anababaishwa na imani yako.” — Enock Maregesi Faith Copy Share Image
“Jibu nilichokuuliza. Utajibu, hutajibu?" "Nitajibu." "Usipojibu?" "Nitajipaka rangi, ya pinki." Murphy hakumwelewa. "Utanifanya chochote utakachotaka." "Mmenigundua vipi?" Murphy aliuliza akirekebisha suruali.” — Enock Maregesi Colour Copy Share Image
“Mwalimu Julius Nyerere was a father to his family. To Tanzania he was a defender of a dream.” — Enock Maregesi Dreams Copy Share Image
“Watoto wadogo wanakufa. Watu wazima wasiokuwa na hatia wanakufa vitani na katika majanga mengine ya asili. Kwa nini? Watoto wadogo wanaokufa walikuja… — Enock Maregesi Adults Copy Share Image
“Sabato ilianzishwa na Mungu siku ya saba ya uumbaji wake. Siku ya Sabato ni siku takatifu, iliyoko katika Amri Kumi za Mungu,… — Enock Maregesi Amri-kumi-za-mungu Copy Share Image
“Kama baba yako hakukufundisha kwamba kuiba ni kitu kibaya, dunia itakufundisha kwa kukuchukia.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ngumi ya Ambilikile ilitua barabara katika kichwa cha Brookshield na kuleta madhara makubwa. Sehemu moja ya kichwa, cha Brookshield, ilibonyea kabisa! Kimya… — Enock Maregesi Ambilikile Copy Share Image
“Wafundishe watoto wako uaminifu, adabu na jinsi ya kuishi vizuri na watu, ili waaminike, waheshimike na waishi vizuri na watu.” — Enock Maregesi Adabu Copy Share Image