Lesson Quote by Enock Maregesi Download Open image ““Kila unayekutana naye ana somo la kukufundisha.”” — Enock Maregesi ★ ★ ★ ★ ★ 3.2 out of 5 (10 ratings) Copy quoteShare Lesson Somo Yang
“Kushirikiana na maadui wa nchi yetu ni hatia ya kosa la uhaini. Adhabu yake ni kifo, au kifungo cha maisha.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Kuona mambo ya rohoni lazima uwe na darubini ya imani. Darubini hiyo ni Yesu Kristo.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Kuandika riwaya ya kijasusi kama Kolonia Santita lazima uishi kama Myahudi. Lazima uishi kifikra!” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Nilijitolea sehemu ya maisha yangu ya kijamii na kifamilia kuweza kuchapisha Kolonia Santita katika kiwango nilichokitaka.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Tukio la Yesu kufa, kufufuka na kupaa kwenda mbinguni bila mabawa ni tukio kubwa kuliko yote yaliyowahi kutokea katika historia ya ulimwengu huu. Naamini,… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Kaikki minkä valveilla näen on kuolemaa, kaikki minkä nukkuessani, unta.” — Pentti Saarikoski Copy Share Image
“Ukitaka kuleta mabadiliko katika dunia huna budi kubadilika wewe kwanza. Ukibadilika ukawa mwema katika jamii yako umeleta mabadiliko katika dunia.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Watu wenye ujuzi au vipaji wanatakiwa kwenda shule kusomea ujuzi au vipaji vyao – kwa miezi mitatu au sita angalau.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu akikubariki kipaji chako watu watasema ni laana. Maisha yako ni sawa na mto. Unakoelekea ni baharini. Lakini sasa umefika kwenye mlango wa bahari.… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ningependa kujitokeza leo kutoa salamu zangu za rambirambi kwa Watu wa Musoma; kutokana na ajali mbaya ya mabasi ya J4 Express, Mwanza Coach, na… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu hutumia watu 'wajinga' na 'wapumbavu' kufanya mambo makubwa katika maisha yao na ya watu wengine. Katika Biblia, Musa aliitwa mjinga alipokiuka amri ya… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mwandishi lazima awe msomaji wa kila aina ya maandishi anayoweza kusoma. Akipanua upeo wake namna hiyo, kila atakachoandika kitaacha nukuu.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Heri kuwa maskini mwenye pesa nyingi kuliko tajiri mwenye mifuko iliyotoboka.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Unapokutana na mtu, kisha mtu huyo haoneshi dalili yoyote ya kutaka kusalimiwa; je, anataka umsalimie au usimsalimie? Ndugu yangu, onesha lugha ya mwili kuonesha… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Nafasi yako peponi itapotea iwapo utamruhusu Pluto (kiongozi wa ahera) akukaribishe bazarai (makao makuu ya ahera) kwa kuchukua maisha yako mwenyewe. Kujiua ni kujipenda… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu ana mpango na maisha ya kila mtu hapa duniani bila kujali dini, jinsia, kabila, rangi, taifa, au umri, na kila mtu ni wa… — Enock Maregesi Copy Share Image
The one thing that I keep learning over and over again is that I don't know nothing. I mean, that's my life lesson. — Dwayne Johnson Copy Share Image
Life thought me how to laugh, how to cry, how to stick around, how to let go. I've seen things I wish to see… — Usman Ismaheel Copy Share Image
“Tear down your border of thicket and vine creating a free world, yours and mine.” — Stephen Cosgrove Copy Share Image
I learned a lot from my Mom. My favorite lesson: remember there is no such thing as a certain way to parent and to… — Regina King Copy Share Image
Do not borrow the productions of other men's brains and pens and recite them as a lesson; but make the most of the talents,… — Ellen G. White Copy Share Image
A most important lesson taught by nature. Only after destruction there is construction. Only on letting go will new opportunities crop up. — Anonymous Copy Share Image
My lesson would be to not sell yourself to anybody else and stay true to yourself. — Mike Portnoy Copy Share Image
It's definitely the biggest lesson - not to take things personally. But it's also the hardest one. — Kid Cudi Copy Share Image