Fear of god Quote by Enock Maregesi Download Open image ““Kipimo cha hofu ya Mungu ni kumjua!”” — Enock Maregesi ★ ★ ★ ★ ★ 2.1 out of 5 (6 ratings) Copy quoteShare Fear of god Hofu-ya-mungu
“Kushirikiana na maadui wa nchi yetu ni hatia ya kosa la uhaini. Adhabu yake ni kifo, au kifungo cha maisha.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Tukio la Yesu kufa, kufufuka na kupaa kwenda mbinguni bila mabawa ni tukio kubwa kuliko yote yaliyowahi kutokea katika historia ya ulimwengu huu. Naamini,… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Kusaliti nchi, ambayo majeshi ya ulinzi na usalama yameundwa kuilinda, ni miongoni mwa makosa makubwa kabisa kuweza kufanywa na mtu! Adhabu yake ni kifungo… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Hutaweza kufikia malengo yako kikamilifu bila msaada wa wataalamu – Hata kama una kipaji au ujuzi kiasi gani.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Nilijitolea sehemu ya maisha yangu ya kijamii na kifamilia kuweza kuchapisha Kolonia Santita katika kiwango nilichokitaka.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Imani ni nia ya kujua kisichoweza kujulikana na hupeleka watu kwenye ukweli. Kuamini hupotosha, na ni nia ya kudharau kinachoweza kujulikana.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu haamui jinsi watu wanavyoamua. Mtu akikwambia huna kipaji muulize yeye ni nani.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ukitaka kuleta mabadiliko katika dunia huna budi kubadilika wewe kwanza. Ukibadilika ukawa mwema katika jamii yako umeleta mabadiliko katika dunia.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Watu wenye ujuzi au vipaji wanatakiwa kwenda shule kusomea ujuzi au vipaji vyao – kwa miezi mitatu au sita angalau.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu akikubariki kipaji chako watu watasema ni laana. Maisha yako ni sawa na mto. Unakoelekea ni baharini. Lakini sasa umefika kwenye mlango wa bahari.… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ningependa kujitokeza leo kutoa salamu zangu za rambirambi kwa Watu wa Musoma; kutokana na ajali mbaya ya mabasi ya J4 Express, Mwanza Coach, na… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu hutumia watu 'wajinga' na 'wapumbavu' kufanya mambo makubwa katika maisha yao na ya watu wengine. Katika Biblia, Musa aliitwa mjinga alipokiuka amri ya… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mwandishi lazima awe msomaji wa kila aina ya maandishi anayoweza kusoma. Akipanua upeo wake namna hiyo, kila atakachoandika kitaacha nukuu.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Heri kuwa maskini mwenye pesa nyingi kuliko tajiri mwenye mifuko iliyotoboka.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Unapokutana na mtu, kisha mtu huyo haoneshi dalili yoyote ya kutaka kusalimiwa; je, anataka umsalimie au usimsalimie? Ndugu yangu, onesha lugha ya mwili kuonesha… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Nafasi yako peponi itapotea iwapo utamruhusu Pluto (kiongozi wa ahera) akukaribishe bazarai (makao makuu ya ahera) kwa kuchukua maisha yako mwenyewe. Kujiua ni kujipenda… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu ana mpango na maisha ya kila mtu hapa duniani bila kujali dini, jinsia, kabila, rangi, taifa, au umri, na kila mtu ni wa… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Hatutakiwi kuishi kama raia wa Tanzania peke yake. Tunatakiwa kuishi kama raia wa dunia na watumishi wa utu, hasa katika kipindi hiki cha zama… — Enock Maregesi Copy Share Image
Always have the fear of God in your heart, and remember that God is always with you, everywhere, whether you are walking or sitting. — Gennadius of Constantinople Copy Share Image
People don't do right because of the fear of God or love of him. You do right because the world doesn't make sense if… — Dorothy Allison Copy Share Image
The works of the righteous would be mortal sins if they would not be feared as mortal sins by the righteous themselves out of… — Martin Luther Copy Share Image
In order to the attaining of all useful knowledge this is most necessary, that we fear God; we are not qualified to profit by… — Matthew Henry Copy Share Image
“Once you let them establish their ideology in you, they will drive you crazy” — Bangambiki Habyarimana Copy Share Image
If we work on marble it will perish. If we work on brass, time will efface it. If we raise temples, they will crumble… — Daniel Webster Copy Share Image
“An atheist is someone who is disappointed in his search of god. He is a man who strongly needed god but couldn't find him.… — Bangambiki Habyarimana Copy Share Image
“There is a passion and drive for cruel deeds which only the awe and fear of God can soothe; there is a suffocating selfishness… — Abraham Joshua Heschel Copy Share Image
Religion is the fear of God, and its demonstration good works; and faith is the root of both: For without faith we cannot please… — William Penn Copy Share Image
Those poor farmers who came up, that day, to defend their native soil, acted from the simplest of instincts. Theydid not know it was… — Ralph Waldo Emerson Copy Share Image
“What the apostle Paul is saying here is that the evidence the Holy Spirit dwelling in a person is the fact that he is… — Ana Mendez Ferrell Copy Share Image
There is the fear that we shan't prove worthy in the eyes of someone who knows us at least as well as we know… — Robert Frost Copy Share Image