“Mwambie mtoto wako maneno mazuri anapokuwa ananyonya na kukuangalia machoni kwa kukukodolea. Maneno utakayomwambia ndiyo yatakayokuwa msingi wa mawazo yake, na ndiyo… — Enock Maregesi Child Copy Share Image
“Kuwa makini na kila kitu unachofanya kwa maana ubongo ni kitu cha ajabu, ubongo una uwezo wa kukupotosha.” — Enock Maregesi 88 Copy Share Image
“Kuandika hadithi ni kitu kimoja. Kuweka kanuni za fasihi katika hadithi ni kitu kingine.” — Enock Maregesi Fiction Copy Share Image
“Kinachotokea leo kitatuathiri kesho. Mbegu tunazopanda sasa ni mazao ya msimu ujao.” — Enock Maregesi Inspirational Copy Share Image
“Ukitenda mema lazima utalipwa mema, ama unajua au hujui, na ukitenda mabaya lazima utalipwa mabaya, ama unajua au hujui.” — Enock Maregesi Evil Copy Share Image
“Ubaguzi ni ubinafsi lakini hakuna ubinafsi mbaya kama ubaguzi.” — Enock Maregesi Discrimination Copy Share Image
“Tusipambane na madawa ya kulevya peke yake. Tupambane na elimu ya madawa ya kulevya pia.” — Enock Maregesi Drug addiction Copy Share Image
The best prize life has to offer is not a chance to work hard and be something in the community. It is… — Enock Maregesi Life Copy Share Image
“Usiangalie nyuma kujutia vitu ulivyovifanya, angalia nyuma kujifunza kutokana na makosa uliyofanya.” — Enock Maregesi Back Copy Share Image
“Hata kama unadaiwa, pokea simu ukipigiwa. Unaweza kupoteza fursa.” — Enock Maregesi Fursa Copy Share Image
“Maendeleo ya mtu yatatokana na juhudi za mtu mwenyewe.” — Enock Maregesi Development Copy Share Image
“Yapo mambo mabaya, na yapo mambo mazuri, ambayo wakoloni walituletea. Chukua mazuri, acha mabaya.” — Enock Maregesi Bad things Copy Share Image
“Ukitaka watu wakuheshimu usitumie mabavu. Tumia hekima. Maana, watu hawaheshimu wewe ni nani au unatoka wapi, wanaheshimu nguvu ya matendo yako. Kama… — Enock Maregesi Brute Copy Share Image
“Wananchi wanapokosa huduma za muhimu za kijamii (kama vile afya, elimu, chakula, malazi, na ulinzi) ilhali wanalipa kodi, na wameajiri serikali kuwaendeshea… — Enock Maregesi Allegiance Copy Share Image
“Lazima kuna mtu, si kitu, mwenye akili ya kupindukia, aliyeanzisha kila kitu kinachoonekana ulimwenguni. Mwaka 1995 wanasayansi waligundua kitu kilichowashtua kuliko kitu… — Enock Maregesi 1995 Copy Share Image
“Lakini kabla Rais hajaendelea kuongea, na ‘John Murphy wa Kolonia Santita’, Mogens aliruka na kumnyang’anya simu. “Ambilikile,” Mogens aliita, akiangalia saa. “Brodersen,”… — Enock Maregesi Ambilikile Copy Share Image
“Kuna nguzo saba ambazo hazina budi kuzingatiwa kama unataka kuheshimiwa na kuwaheshimu wengine. Kwanza kabisa jitambue: wewe ni nani na unafanya nini… — Enock Maregesi Accuracy Copy Share Image
“Hadithi ya maisha yangu ni yangu. Wewe ni nani kusema hadithi yangu si ya kweli?” — Enock Maregesi Life Copy Share Image
“Kolonia Santita ni kitabu cha Kiswahili. Si Kingereza wala Kihispania. Lazima tujifunze kuipenda na kuitetea lugha yetu kwa manufaa ya vizazi vijavyo.” — Enock Maregesi Informational Copy Share Image
“Usalama wa Taifa ni akili si ukali. Kazi yake, au wajibu wake; ni kukusanya, kuchanganua, kudurusu na kuunganisha kwa makini, taarifa nyeti… — Enock Maregesi Inspirational Copy Share Image
“Sikujui. Lakini naamini hungependa kuishi maisha yako hapa duniani bila kuacha urithi au kumbukumbu ya aina yoyote katika jamii.” — Enock Maregesi 88 Copy Share Image
“Unapofikia hatua ya kuwa na kila kitu katika maisha, unapokuwa umefanya kila kitu ulichotamani kufanya katika maisha, unakuwa na bahari nzima ndani… — Enock Maregesi Drop Copy Share Image