Truth Quote by Enock Maregesi Download Open image ““Ukweli unauma na unaumiza.”” — Enock Maregesi ★ ★ ★ ★ ★ 4.5 out of 5 (4 ratings) Copy quoteShare Truth Ukweli
“Ukitenda mema lazima utalipwa mema, ama unajua au hujui, na ukitenda mabaya lazima utalipwa mabaya, ama unajua au hujui.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Hata kama unadaiwa, pokea simu ukipigiwa. Unaweza kupoteza fursa.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ukitamka nadhiri waziwazi Shetani atasikia. Akisikia atavuruga. Mipango yako yote aliyosikia itakuwa matatizoni.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ukitaka kuleta mabadiliko katika dunia huna budi kubadilika wewe kwanza. Ukibadilika ukawa mwema katika jamii yako umeleta mabadiliko katika dunia.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Watu wenye ujuzi au vipaji wanatakiwa kwenda shule kusomea ujuzi au vipaji vyao – kwa miezi mitatu au sita angalau.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu akikubariki kipaji chako watu watasema ni laana. Maisha yako ni sawa na mto. Unakoelekea ni baharini. Lakini sasa umefika kwenye mlango wa bahari.… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ningependa kujitokeza leo kutoa salamu zangu za rambirambi kwa Watu wa Musoma; kutokana na ajali mbaya ya mabasi ya J4 Express, Mwanza Coach, na… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu hutumia watu 'wajinga' na 'wapumbavu' kufanya mambo makubwa katika maisha yao na ya watu wengine. Katika Biblia, Musa aliitwa mjinga alipokiuka amri ya… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mwandishi lazima awe msomaji wa kila aina ya maandishi anayoweza kusoma. Akipanua upeo wake namna hiyo, kila atakachoandika kitaacha nukuu.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Heri kuwa maskini mwenye pesa nyingi kuliko tajiri mwenye mifuko iliyotoboka.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Unapokutana na mtu, kisha mtu huyo haoneshi dalili yoyote ya kutaka kusalimiwa; je, anataka umsalimie au usimsalimie? Ndugu yangu, onesha lugha ya mwili kuonesha… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Nafasi yako peponi itapotea iwapo utamruhusu Pluto (kiongozi wa ahera) akukaribishe bazarai (makao makuu ya ahera) kwa kuchukua maisha yako mwenyewe. Kujiua ni kujipenda… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu ana mpango na maisha ya kila mtu hapa duniani bila kujali dini, jinsia, kabila, rangi, taifa, au umri, na kila mtu ni wa… — Enock Maregesi Copy Share Image
The truth seems to be that propaganda on its own cannot force its way into unwilling minds; neither can it inculcate something wholly new;… — Eric Hoffer Copy Share Image
High school sucked. It was a universal truth, and whoever said these were supposed to be the best years of your life was probably… — Kami Garcia Copy Share Image
“Narrative cannot sustain formlessness any more than light can sustain darkness - it is the antithesis of formlessness, and so it can never truly… — Nicole Krauss Copy Share Image
Before Noah, men having only water to drink, could not find the truth. Accordingly...they became abominably wicked, and they were justly exterminated by the… — Benjamin Franklin Copy Share Image
I could program a 'fabulous, I love it' kind of hit season right now. I'm more interested in breaking boundaries, telling a story, defying… — George C. Wolfe Copy Share Image
How could anybody confuse truth with beauty, I thought as I looked at him. Truth came with sunken eyes, bony or scarred, decayed. Its… — Janet Fitch Copy Share Image
The truth is, of course, that the curtness of the Ten Commandments is an evidence, not of the gloom and narrowness of a religion,… — Anonymous Copy Share Image
I always believed that photography was subjective, interpretive and certainly did not represent the truth, but I did think that its status as a… — Fred Ritchin Copy Share Image
The history of mankind interests us only as it exhibits a steady gain of truth and right, in the incessant conflict which it records… — Ralph Waldo Emerson Copy Share Image
The greatest act of courage is to be and to ownall of who you are—without apology, without excuses, without masks to cover the truth… — Debbie Ford Copy Share Image