Question Quote by Enock Maregesi Download Open image ““Ukiulizwa swali usipojibu umejibu.”” — Enock Maregesi ★ ★ ★ ★ ★ 4.0 out of 5 (7 ratings) Copy quoteShare Question
“Usilaumu, usilipize kisasi, usilaani, usihukumu, wala usitoe adhabu, lakini kuwa makini sana na maamuzi yako.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Watu wanapokuwa katika migogoro maisha yao hutakiwa kurahisishwa. Kuna ukingo mwembamba kati ya uzima na wazimu.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Unaposhindwa katika mtihani wa kimaisha, usiangukie nyuma, angukia mbele.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ukitaka kuleta mabadiliko katika dunia huna budi kubadilika wewe kwanza. Ukibadilika ukawa mwema katika jamii yako umeleta mabadiliko katika dunia.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Watu wenye ujuzi au vipaji wanatakiwa kwenda shule kusomea ujuzi au vipaji vyao – kwa miezi mitatu au sita angalau.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu akikubariki kipaji chako watu watasema ni laana. Maisha yako ni sawa na mto. Unakoelekea ni baharini. Lakini sasa umefika kwenye mlango wa bahari.… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ningependa kujitokeza leo kutoa salamu zangu za rambirambi kwa Watu wa Musoma; kutokana na ajali mbaya ya mabasi ya J4 Express, Mwanza Coach, na… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu hutumia watu 'wajinga' na 'wapumbavu' kufanya mambo makubwa katika maisha yao na ya watu wengine. Katika Biblia, Musa aliitwa mjinga alipokiuka amri ya… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mwandishi lazima awe msomaji wa kila aina ya maandishi anayoweza kusoma. Akipanua upeo wake namna hiyo, kila atakachoandika kitaacha nukuu.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Heri kuwa maskini mwenye pesa nyingi kuliko tajiri mwenye mifuko iliyotoboka.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Unapokutana na mtu, kisha mtu huyo haoneshi dalili yoyote ya kutaka kusalimiwa; je, anataka umsalimie au usimsalimie? Ndugu yangu, onesha lugha ya mwili kuonesha… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Nafasi yako peponi itapotea iwapo utamruhusu Pluto (kiongozi wa ahera) akukaribishe bazarai (makao makuu ya ahera) kwa kuchukua maisha yako mwenyewe. Kujiua ni kujipenda… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu ana mpango na maisha ya kila mtu hapa duniani bila kujali dini, jinsia, kabila, rangi, taifa, au umri, na kila mtu ni wa… — Enock Maregesi Copy Share Image
If you ask an introvert a question, wait until she thinks about it. Introverts think before speaking, not through speaking. If you want to… — Laurie Helgoe Copy Share Image
Everything affects hip-hop. The question is, how does it affect the money that corporations are going to invest to put out different kinds of… — will.i.am Copy Share Image
“What does he look like? The question was soft- tentative. I knew who he meant. I interlaced my fingers through Rhysand's and squeezed tightly.… — Sarah J. Maas Copy Share Image
“And if you can’t say yes, answer anyway. Because I’d rather live with the answer than die with the question.” — Jon Ellis Copy Share Image
I visited the archeological site at the northern tip of Newfoundland. There is no question about it. It has been definitely determined that the… — Russell Freedman Copy Share Image
Nobody ever wins by the cavalry coming to rescue you. It isn't a question of you're happy if you get married, or you get… — Maeve Binchy Copy Share Image
Every morning when I pick up the newspaper and read about an earthquake in Japan or problems in European financial institutions, the first question… — Mary Schapiro Copy Share Image
“The question for the man of sense is: Do we or do we not want to go to hell? And his answer is: No,… — Aldous Huxley Copy Share Image
Sober alkies are often asked: "When did you hit rock bottom?" but a more informed question might be: "How many times did you hit… — Craig Ferguson Copy Share Image