Addict Quote by Enock Maregesi Download Open image ““Kuwa teja wa mafanikio.”” — Enock Maregesi ★ ★ ★ ★ ★ 2.4 out of 5 (8 ratings) Copy quoteShare Addict Mafanikio Success
“Kusaliti nchi, ambayo majeshi ya ulinzi na usalama yameundwa kuilinda, ni miongoni mwa makosa makubwa kabisa kuweza kufanywa na mtu! Adhabu yake ni kifungo… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu alitupa masikio mawili na ulimi mmoja. Tunatakiwa kusikiliza zaidi kuliko kuongea.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Watu wanapokuwa katika migogoro maisha yao hutakiwa kurahisishwa. Kuna ukingo mwembamba kati ya uzima na wazimu.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Heri kuogopwa kuliko kupendwa kama huwezi kuogopwa na kupendwa kwa wakati mmoja.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Kuzaliwa na kuishi ni mibaraka mikubwa ya Mwenyezi Mungu kuliko yote duniani.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Tengeneza maisha ya mwanao kwa kuongea naye maneno mazuri anapokuwa tumboni mwako, na anapokuwa ananyonya akikuangalia machoni.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Wasifu wa viongozi wa Kolonia Santita ni siri kwa sababu siri ni siri ya mafanikio.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Kushirikiana na maadui wa nchi yetu ni hatia ya kosa la uhaini. Adhabu yake ni kifo, au kifungo cha maisha.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Kupata kitu ambacho hujawahi kupata lazima ufanye kitu ambacho hujawahi kufanya.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ukitaka kuleta mabadiliko katika dunia huna budi kubadilika wewe kwanza. Ukibadilika ukawa mwema katika jamii yako umeleta mabadiliko katika dunia.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Watu wenye ujuzi au vipaji wanatakiwa kwenda shule kusomea ujuzi au vipaji vyao – kwa miezi mitatu au sita angalau.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu akikubariki kipaji chako watu watasema ni laana. Maisha yako ni sawa na mto. Unakoelekea ni baharini. Lakini sasa umefika kwenye mlango wa bahari.… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ningependa kujitokeza leo kutoa salamu zangu za rambirambi kwa Watu wa Musoma; kutokana na ajali mbaya ya mabasi ya J4 Express, Mwanza Coach, na… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu hutumia watu 'wajinga' na 'wapumbavu' kufanya mambo makubwa katika maisha yao na ya watu wengine. Katika Biblia, Musa aliitwa mjinga alipokiuka amri ya… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mwandishi lazima awe msomaji wa kila aina ya maandishi anayoweza kusoma. Akipanua upeo wake namna hiyo, kila atakachoandika kitaacha nukuu.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Heri kuwa maskini mwenye pesa nyingi kuliko tajiri mwenye mifuko iliyotoboka.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Unapokutana na mtu, kisha mtu huyo haoneshi dalili yoyote ya kutaka kusalimiwa; je, anataka umsalimie au usimsalimie? Ndugu yangu, onesha lugha ya mwili kuonesha… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Nafasi yako peponi itapotea iwapo utamruhusu Pluto (kiongozi wa ahera) akukaribishe bazarai (makao makuu ya ahera) kwa kuchukua maisha yako mwenyewe. Kujiua ni kujipenda… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu ana mpango na maisha ya kila mtu hapa duniani bila kujali dini, jinsia, kabila, rangi, taifa, au umri, na kila mtu ni wa… — Enock Maregesi Copy Share Image
The only way to make sure that the Hand didn't get to you would have been to kill your brother. I could've done it,… — Ilona Andrews Copy Share Image
Then they're like addicts; they can't help themselves... They will steal, cheat, embezzle and commit other crimes just to get money to gamble — John Warren Kindt Copy Share Image
They are enthusiasts, devotees. Addicts. Something about the circus stirs their souls, and they ache for it when it is absent. They seek each… — Erin Morgenstern Copy Share Image
When we think carefully, we see that the brief elation we experience when appeasing sensual impulses may not be very different from what the… — Dalai Lama Copy Share Image
So many kids are fat drug addicts these days, it's almost as if Rush Limbaugh had puppies. — Bill Maher Copy Share Image
I'm a complete addict of The 'X Factor,' so I can see why everyone gets so inspired. But there's a downside to celebrity: your… — Diana Quick Copy Share Image
It doesn't have the ability to think rationally this economic model. It thinks like a drug addict: 'Where can I get my next fix?'… — Naomi Klein Copy Share Image
It is not heroin or cocaine that makes one an addict, it is the need to escape from a harsh reality. There are more… — Shirley Chisholm Copy Share Image
...... an outlaw gulch, a haven for draft resisters, struggling artists, and drug addicts.....a camp for semi-demented adults.... Venice is like the legendary Phoenix… — Sara Davidson Copy Share Image
I had to come to terms about becoming an addict, which, for a long time, I lied to myself about the status of until… — Trent Reznor Copy Share Image
Nobody can become a drug addict if they're hip. Because it's obvious that if you're hip then you've got to make it. The buzz… — George Harrison Copy Share Image