God Quote by Enock Maregesi Download Open image ““Mungu anataka nini zaidi kutoka kwako? Anakutaka wewe.”” — Enock Maregesi ★ ★ ★ ★ ★ 5.0 out of 5 (7 ratings) Copy quoteShare God Mungu Wewe Yang You
“Mungu hataki tuwe maskini, kwani fedha na dhahabu ni mali yake. Anachotaka kutoka kwetu, zaka.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Kuikaribisha amani ya Mungu katika maisha yangu kumenisaidia. Naishi mbinguni duniani.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Unapokutana na mtu, kisha mtu huyo haoneshi dalili yoyote ya kutaka kusalimiwa; je, anataka umsalimie au usimsalimie? Ndugu yangu, onesha lugha ya mwili kuonesha… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Kujiingiza katika madawa ni matokeo ya maisha. Hatutumii madawa ya kulevya. Madawa ya kulevya ni sisi wenyewe; tunahitaji kusaidiwa.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Komando hata akiwa na kizibo cha bia usimruhusu awe nacho. Anaweza kukutoa shingo.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Serikali haishirikiani na huruma katika kufanya maamuzi yake. Inashirikiana na akili.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ukitaka kuleta mabadiliko katika dunia huna budi kubadilika wewe kwanza. Ukibadilika ukawa mwema katika jamii yako umeleta mabadiliko katika dunia.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Watu wenye ujuzi au vipaji wanatakiwa kwenda shule kusomea ujuzi au vipaji vyao – kwa miezi mitatu au sita angalau.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu akikubariki kipaji chako watu watasema ni laana. Maisha yako ni sawa na mto. Unakoelekea ni baharini. Lakini sasa umefika kwenye mlango wa bahari.… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ningependa kujitokeza leo kutoa salamu zangu za rambirambi kwa Watu wa Musoma; kutokana na ajali mbaya ya mabasi ya J4 Express, Mwanza Coach, na… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu hutumia watu 'wajinga' na 'wapumbavu' kufanya mambo makubwa katika maisha yao na ya watu wengine. Katika Biblia, Musa aliitwa mjinga alipokiuka amri ya… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mwandishi lazima awe msomaji wa kila aina ya maandishi anayoweza kusoma. Akipanua upeo wake namna hiyo, kila atakachoandika kitaacha nukuu.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Heri kuwa maskini mwenye pesa nyingi kuliko tajiri mwenye mifuko iliyotoboka.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Unapokutana na mtu, kisha mtu huyo haoneshi dalili yoyote ya kutaka kusalimiwa; je, anataka umsalimie au usimsalimie? Ndugu yangu, onesha lugha ya mwili kuonesha… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Nafasi yako peponi itapotea iwapo utamruhusu Pluto (kiongozi wa ahera) akukaribishe bazarai (makao makuu ya ahera) kwa kuchukua maisha yako mwenyewe. Kujiua ni kujipenda… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu ana mpango na maisha ya kila mtu hapa duniani bila kujali dini, jinsia, kabila, rangi, taifa, au umri, na kila mtu ni wa… — Enock Maregesi Copy Share Image
I don't drink much anymore, but when I traveled with Frank Sinatra, God rest his soul, I used to drink like I could do… — Don Rickles Copy Share Image
“God hates Hell. He hates the idea of people going there. He hates it so much that He was willing to take on human… — Evan Minton Copy Share Image
“am not suggesting that successes in academics, athletics, or vocation somehow stand outside God’s good plan. Learning and play are joys that God himself… — Timothy Paul Jones Copy Share Image
I pray that wherever we are and whatever duties we have in the priesthood of God, we will be united in the cause to… — Henry B. Eyring Copy Share Image
Philosopher is a dictator who modifies accepted standards with his thoughts. — Ilkin Santak Copy Share Image
Here's the reality. The image of a white Jesus has been used to justify enslavement, conquest, colonialism, the genocide of indigenous peoples. There are… — Tim Wise Copy Share Image
A lot of people have been saying 'The 100' reminds them of 'Lord Of The Flies,' 'Lost' and 'Battlestar Galactica,' and all of those… — Marie Avgeropoulos Copy Share Image
As we are coming to the end of the year, I want you to forget about the past, the failure, the negative thoughts or… — Anonymous Copy Share Image
I wonder: when a Jehovah's Witness dies and goes to Heaven, does God hide behind the door and pretend He's not home? — Brian Celio Copy Share Image