Children Quote by Enock Maregesi Download Open image ““Mdanganyifu hudanganya wanaopenda kudanganywa.”” — Enock Maregesi ★ ★ ★ ★ ★ 2.2 out of 5 (4 ratings) Copy quoteShare Children Deceiver Devil Evil Globalisation Internet Liar Media Morality Morals Newspapers Radio Technology Television
“Wanasayansi wanasema hakuna Mungu kwa sababu hawawezi kumwona wala kumgusa. Lakini nao hawana akili kwa sababu hawawezi kuiona wala kuigusa.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Heri kuogopwa kuliko kupendwa kama huwezi kuogopwa na kupendwa kwa wakati mmoja.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Watu wanapokuwa katika migogoro maisha yao hutakiwa kurahisishwa. Kuna ukingo mwembamba kati ya uzima na wazimu.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Watu wanaohatarisha maisha yao kwa kudharau sheria wakati mwingine hawatakiwi kudharauliwa. Ni sawa na mtu aliyepoteza kila kitu katika maisha yake. Wana uwezo wa… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Kujenga urafiki na wanasiasa wakati mwingine ni kitu kizuri. Wanasaidia kurahisisha mambo.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ukikosana na mwanamke usimpige mchana. Mpige usiku. Ukimpiga mchana watu watasema umemwonea. Ukimpiga usiku watu watasema huenda alikuwa na makosa. Wanawake hawatakiwi kupigwa.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Kusaliti nchi, ambayo majeshi ya ulinzi na usalama yameundwa kuilinda, ni miongoni mwa makosa makubwa kabisa kuweza kufanywa na mtu! Adhabu yake ni kifungo… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ukitaka kuleta mabadiliko katika dunia huna budi kubadilika wewe kwanza. Ukibadilika ukawa mwema katika jamii yako umeleta mabadiliko katika dunia.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Watu wenye ujuzi au vipaji wanatakiwa kwenda shule kusomea ujuzi au vipaji vyao – kwa miezi mitatu au sita angalau.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu akikubariki kipaji chako watu watasema ni laana. Maisha yako ni sawa na mto. Unakoelekea ni baharini. Lakini sasa umefika kwenye mlango wa bahari.… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ningependa kujitokeza leo kutoa salamu zangu za rambirambi kwa Watu wa Musoma; kutokana na ajali mbaya ya mabasi ya J4 Express, Mwanza Coach, na… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu hutumia watu 'wajinga' na 'wapumbavu' kufanya mambo makubwa katika maisha yao na ya watu wengine. Katika Biblia, Musa aliitwa mjinga alipokiuka amri ya… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mwandishi lazima awe msomaji wa kila aina ya maandishi anayoweza kusoma. Akipanua upeo wake namna hiyo, kila atakachoandika kitaacha nukuu.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Heri kuwa maskini mwenye pesa nyingi kuliko tajiri mwenye mifuko iliyotoboka.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Unapokutana na mtu, kisha mtu huyo haoneshi dalili yoyote ya kutaka kusalimiwa; je, anataka umsalimie au usimsalimie? Ndugu yangu, onesha lugha ya mwili kuonesha… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Nafasi yako peponi itapotea iwapo utamruhusu Pluto (kiongozi wa ahera) akukaribishe bazarai (makao makuu ya ahera) kwa kuchukua maisha yako mwenyewe. Kujiua ni kujipenda… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu ana mpango na maisha ya kila mtu hapa duniani bila kujali dini, jinsia, kabila, rangi, taifa, au umri, na kila mtu ni wa… — Enock Maregesi Copy Share Image
I am certain that children always know more than they are able to tell, and that makes the big difference between them and adults,… — Jacques Lusseyran Copy Share Image
I believe in freedom to do what you want if you aren't hurting others, but pictures of obese protesters giving their children big gulps. — Philip DeFranco Copy Share Image
If the audience likes your work, if they like you, they don't think whether you are married or have children or not. I made… — Dimple Kapadia Copy Share Image
It doesnt seem to me strange that children should like the macabre, the sensational, and the forbidden. — Anthony Hecht Copy Share Image
Gratitude isn't just a feeling, it's an action. Expressing gratitude by writing in a journal, taking a photo, or shooting a video creates a… — Janice Kaplan Copy Share Image
My embarrassing confession is that my father is a 'Camelot: The Musical' obsessive. So as a child, when we were going to visit relatives… — Chris Chibnall Copy Share Image
I have many who keep me going, I am very fortunate in this sense. There is nothing like a child who knows more about… — Floyd Cooper Copy Share Image
My school was one of the most beautiful places a child can grow up in. You are surrounded by nature - cats, dogs, birds… — Amala Akkineni Copy Share Image
A lesser complaint: hair extensions. There are moments on 'All My Children' when half the women actors, young and old, seem to be afflicted… — Camille Paglia Copy Share Image
As a child, I had a lot of older gay men taking care of me. There's a trust there. I feel like little girls… — Margaret Cho Copy Share Image