People Quote by Enock Maregesi Download Open image ““Watu wengi hawana uelewa ndiyo maana hawajui.”” — Enock Maregesi ★ ★ ★ ★ ★ 3.4 out of 5 (4 ratings) Copy quoteShare People Understanding Watu
“Watu hawaheshimu wewe ni nani au unatoka wapi. Wanaheshimu nguvu ya matendo yako.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Nimewapa watoto wangu kila kitu katika maisha isipokuwa umaskini. Lakini bado wamenishinda.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu haamui jinsi watu wanavyoamua. Mtu akikwambia huna kipaji muulize yeye ni nani.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Shetani hawezi kuona wala kusikia kinachoendelea ndani ya moyo wako.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ukitaka watu wakuheshimu usitumie mabavu. Tumia hekima. Maana, watu hawaheshimu wewe ni nani au unatoka wapi, wanaheshimu nguvu ya matendo yako. Kama una tatizo… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Watu wanapokuwa katika migogoro maisha yao hutakiwa kurahisishwa. Kuna ukingo mwembamba kati ya uzima na wazimu.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Hutaweza kufikia malengo yako kikamilifu bila msaada wa wataalamu – Hata kama una kipaji au ujuzi kiasi gani.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ukiajiri ndugu usimwonee aibu! Namna hiyo ajira yake haitaathiri nguvu ya mamlaka yako.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Katika jiji la Dar watu hawaendi kazini. Wanakwenda vitani. Wania kilicho chako ukidhulumiwa. Utajiri humpendelea anayejaribu.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ukitaka kuleta mabadiliko katika dunia huna budi kubadilika wewe kwanza. Ukibadilika ukawa mwema katika jamii yako umeleta mabadiliko katika dunia.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Watu wenye ujuzi au vipaji wanatakiwa kwenda shule kusomea ujuzi au vipaji vyao – kwa miezi mitatu au sita angalau.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu akikubariki kipaji chako watu watasema ni laana. Maisha yako ni sawa na mto. Unakoelekea ni baharini. Lakini sasa umefika kwenye mlango wa bahari.… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ningependa kujitokeza leo kutoa salamu zangu za rambirambi kwa Watu wa Musoma; kutokana na ajali mbaya ya mabasi ya J4 Express, Mwanza Coach, na… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu hutumia watu 'wajinga' na 'wapumbavu' kufanya mambo makubwa katika maisha yao na ya watu wengine. Katika Biblia, Musa aliitwa mjinga alipokiuka amri ya… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mwandishi lazima awe msomaji wa kila aina ya maandishi anayoweza kusoma. Akipanua upeo wake namna hiyo, kila atakachoandika kitaacha nukuu.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Heri kuwa maskini mwenye pesa nyingi kuliko tajiri mwenye mifuko iliyotoboka.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Unapokutana na mtu, kisha mtu huyo haoneshi dalili yoyote ya kutaka kusalimiwa; je, anataka umsalimie au usimsalimie? Ndugu yangu, onesha lugha ya mwili kuonesha… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Nafasi yako peponi itapotea iwapo utamruhusu Pluto (kiongozi wa ahera) akukaribishe bazarai (makao makuu ya ahera) kwa kuchukua maisha yako mwenyewe. Kujiua ni kujipenda… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu ana mpango na maisha ya kila mtu hapa duniani bila kujali dini, jinsia, kabila, rangi, taifa, au umri, na kila mtu ni wa… — Enock Maregesi Copy Share Image
If I am going to be phased out by whatever powers, then I want people to know that it is not because I am… — Parvathy Copy Share Image
Some people still believe you should just fall in line with what's going on - and that's scary. It makes a mockery of freedom… — Emily Robison Copy Share Image
The truth seems to be that propaganda on its own cannot force its way into unwilling minds; neither can it inculcate something wholly new;… — Eric Hoffer Copy Share Image
From Augustine down, theologians have tried to compel people to accept their special interpretation of the Scripture, and the tortures of the inquisition, the… — Matilda Joslyn Gage Copy Share Image
I wanted to write about voodoo tradition that I feel has been very important to survival of black people here: people of the African… — Jesmyn Ward Copy Share Image
I feel like I definitely have a real sporty style, more so than a lot of people in G.O.O.D. Music. — Big Sean Copy Share Image
I feel like the future is unwritten. So many of the things that we write now haven't been about educating people on the environment,… — John Flansburgh Copy Share Image
The only people who think the Internet is a calamity are people whose lives have been hurt by it; the only people who insist… — Chuck Klosterman Copy Share Image
Crony capitalism is essentially a condition in which... public officials are giving favours to people in the private sector in payment of political favours. — Alan Greenspan Copy Share Image
I think, here's what I've realized from interviewing people, and I've been very open about my Catholicism and my love of Christ and I… — Jay Mohr Copy Share Image
For us who are now in power, we need to be challenged to serve the people and ignore our own egos and personal interests… — Wangari Maathai Copy Share Image
When I was trying to come up with a stage name, I thought 'Lord' was super rad, but really masculine - ever since I… — Lorde Copy Share Image