Aid Quote by Enock Maregesi Download Open image ““Toa msaada katika jamii iliyosaidia kukulea ulipokuwa mdogo.”” — Enock Maregesi ★ ★ ★ ★ ★ 3.3 out of 5 (9 ratings) Copy quoteShare Aid Economist Enock Enock-maregesi Extravagance Financial-worries Fulfillment Generous Give-back-to-society Greedy Happiness Help Hypocrisy Indulgence Intention Man Maregesi Mean Money Open Parsimonia People Person Pockets Poor Poverty Rich Selfishness Serene Serenity Small Society Stingy Support Thrift Truth Ungenerous Wastefulness Wealth
“Heri kuogopwa kuliko kupendwa kama huwezi kuogopwa na kupendwa kwa wakati mmoja.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu alitupa masikio mawili na ulimi mmoja. Tunatakiwa kusikiliza zaidi kuliko kuongea.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Usiangalie nyuma kujutia vitu ulivyovifanya, angalia nyuma kujifunza kutokana na makosa uliyofanya.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Unaposhindwa katika mtihani wa kimaisha, usiangukie nyuma, angukia mbele.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Hatumtaki kiongozi anayeishi katika mifuko ya mafisadi, tunamtaka kiongozi anayeishi katika ibara za katiba ya nchi. Kitambi bila Yesu ni jipu.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Hata kama umetajirika kiasi gani mpe Mungu kipaumbele cha kwanza katika kila jambo unalofanya. Toa zaka na sadaka na jitolee katika mambo yote yanayompendeza… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Kuikaribisha amani ya Mungu katika maisha yangu kumenisaidia. Naishi mbinguni duniani.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Utajiri una changamoto nyingi. Yesu alisema ni rahisi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu. Hakusema msomi.… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Nimewapa watoto wangu kila kitu katika maisha isipokuwa umaskini. Lakini bado wamenishinda.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Kuwa na huruma kwa malaika anayekulinda ni kujifunika kwa silaha kamili ya Mungu. Ukijifunika kwa panoplia utamrahisishia kazi malaika wako, aliyepewa jukumu na Mwenyezi… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ukitaka kuleta mabadiliko katika dunia huna budi kubadilika wewe kwanza. Ukibadilika ukawa mwema katika jamii yako umeleta mabadiliko katika dunia.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Watu wenye ujuzi au vipaji wanatakiwa kwenda shule kusomea ujuzi au vipaji vyao – kwa miezi mitatu au sita angalau.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu akikubariki kipaji chako watu watasema ni laana. Maisha yako ni sawa na mto. Unakoelekea ni baharini. Lakini sasa umefika kwenye mlango wa bahari. Unahangaika upite wapi kufika baharini, ambapo utaogelea kwa kadiri utakavyoweza. Utakapofika baharini, watu, badala ya kusema umebarikiwa, watasema umelaaniwa, badala ya kukuita malaika, watakuita shetani. Mafanikio hayapimwi kwa pesa au mali kiasi gani unayo, mafanikio yanapimwa… — Enock Maregesi Copy Share
“Ningependa kujitokeza leo kutoa salamu zangu za rambirambi kwa Watu wa Musoma; kutokana na ajali mbaya ya mabasi ya J4 Express, Mwanza Coach, na gari ndogo aina Nissan Terrano, iliyotokea Ijumaa tarehe 5/9/2014 katika eneo la Sabasaba mjini Musoma. Kulingana na vyombo vya habari, watu 39 wamefariki dunia. Wengine wengi wamejeruhiwa vibaya. Mali za mamilioni ya fedha zimeteketea kabisa. Hii… — Enock Maregesi Copy Share
“Mungu hutumia watu 'wajinga' na 'wapumbavu' kufanya mambo makubwa katika maisha yao na ya watu wengine. Katika Biblia, Musa aliitwa mjinga alipokiuka amri ya Farao ya kuendelea kuwafanya watumwa wana wa Israeli nchini Misri; Nuhu aliitwa mpumbavu alipohubiri kwa miaka mia kuhusu gharika, katika kipindi ambacho watu hawakujua mvua ni nini; Daudi aliitwa mjinga alipojitolea kupambana na Goliati bonge la… — Enock Maregesi Copy Share
“Mwandishi lazima awe msomaji wa kila aina ya maandishi anayoweza kusoma. Akipanua upeo wake namna hiyo, kila atakachoandika kitaacha nukuu.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Heri kuwa maskini mwenye pesa nyingi kuliko tajiri mwenye mifuko iliyotoboka.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Unapokutana na mtu, kisha mtu huyo haoneshi dalili yoyote ya kutaka kusalimiwa; je, anataka umsalimie au usimsalimie? Ndugu yangu, onesha lugha ya mwili kuonesha… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Nafasi yako peponi itapotea iwapo utamruhusu Pluto (kiongozi wa ahera) akukaribishe bazarai (makao makuu ya ahera) kwa kuchukua maisha yako mwenyewe. Kujiua ni kujipenda… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu ana mpango na maisha ya kila mtu hapa duniani bila kujali dini, jinsia, kabila, rangi, taifa, au umri, na kila mtu ni wa… — Enock Maregesi Copy Share Image
Africans are on the front lines of humanitarian efforts, distributing life-saving aid in dangerous environments. Africans comprise the vast majority of peacekeepers in civil… — John Prendergast Copy Share Image
Much of the aid we first gave to Russia we took away from what we promised Britain. So in a sense, Britain participated in… — W. Averell Harriman Copy Share Image
Taiwan gives a lot of foreign aid to Costa Rica, so it looks like they are basically buying the right to fish, even though… — Paul Watson Copy Share Image
“Akin to the idea that time is money is the concept, less spoken by as commonly assumed, that we may be adequately represented by money. The giving of money has thus become our characteristic virtue. But to give is not to do. The money is given in lieu of action, thought, care, time. And it is no remedy for the… — Wendell Berry Copy Share
“I would not be among you to-night (being awarded the 1964 Nobel Prize in Physiology or Medicine) but for the mentors, colleagues and students who have guided and aided me throughout my scientific life. I wish I could name them all and tell you their contributions. More, however, than anyone else it was the late Rudolf Schoenheimer, a brilliant scholar… — Konrad Bloch Copy Share
When it comes to providing aid, developing innovations, and making bold steps that change the course of history, the United States is usually on… — Seth Berkley Copy Share Image
The Europeans had made two promises to the United States if Marshall Plan help was forthcoming. The first promise was maximum self-help on the… — Paul Hoffman Copy Share Image
“And then one day you realise that if you want to be rich, you'd have to give away almost everything you own.” — Kamand Kojouri Copy Share Image
Pell grants are the foundation of Federal student aid. As someone who attended college with the help of Pell grants and as chairman of… — Ric Keller Copy Share Image
Congress has shortchanged not only foreign aid but foreign policy. A mistaken notion that diplomats are unimportant and hence undeserving of support grips conservative… — Anthony Lewis Copy Share Image
I remember bumming rides across town to Georgia Tech, trying to get myself registered, trying to apply for financial aid, trying to get their… — Nick Ferguson Copy Share Image