Alms Quote by Enock Maregesi
““Pesa itolewe kwa masharti au bila masharti chukua, kwani huyo aliyeitoa si yake. Benki, kwa mfano, ikitaka kukupa mkopo itakuwa na masharti yake; chukua, iwapo utakubaliana na masharti hayo. Jambazi akikupa pesa ili ukafanyie ujambazi chukua pia. Lakini hiyo usiipeleke kanisani, ipeleke serikalini. Serikali itajua jinsi ya kupambana na huyo aliyekupa hiyo pesa, na hiyo pesa itaendelea kuimarisha ulinzi na usalama nchini. Pesa kuendelea kuimarisha ulinzi na usalama nchini ni sawa na zaka, au sadaka, na wewe utabarikiwa kwa kupata nyingine.””
About This Quote
Accept money only under conditions you agree to; otherwise, it becomes a burden that can be used against you.
In simple terms: Take money with terms you accept, not without.
Agree to terms before accepting funds.
Themes
Mood
Type
When to use this quote
- personal finance
- business negotiations
- government loans
- charitable donations
Key Concepts
Questions to Reflect On
- Do you always read the fine print?
- How can you protect yourself from hidden obligations?
If terms are unclear, you may be exploited later.