Attraction Quote by Enock Maregesi Download Open image ““Kemia huunda mahusiano mema miongoni mwa watu.”” — Enock Maregesi ★ ★ ★ ★ ★ 3.2 out of 5 (5 ratings) Copy quoteShare Attraction Chemistry Lust Physics Relationships Yang
“Kuzaliwa na kuishi ni mibaraka mikubwa ya Mwenyezi Mungu kuliko yote duniani.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Neno moja kutoka mdomoni mwako linaweza kukuletea madhara makubwa. Waweza kusema kitu ukadhani umepatia kumbe umeharibu. Fikiria kwanza maana ya kitu unachosema, halafu sema.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Anayesema fulani ni mwanachama wa chama cha siri cha kusaidiana cha wajenzi huru ana hakika? Haya mambo ni siri. Amejuaje? Kumbuka, usiamini, jua!” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Neno moja kutoka mdomoni mwako linaweza kukuletea madhara makubwa. Fikiria kwanza maana ya kitu unachofikiria (ambacho tayari umekisema kichwani mwako) kabla ya kukisema tena… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Nimewapa watoto wangu kila kitu katika maisha isipokuwa umaskini. Lakini bado wamenishinda.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Nimebadili utaratibu wangu siku hizi kutokana na maadili ya watoto wetu. Siongei na watoto wangu kuhusu Mungu. Naongea na Mungu kuhusu watoto wangu. Yesu… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Unaposhindwa katika mtihani wa kimaisha, usiangukie nyuma, angukia mbele.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ukitaka watu wakuheshimu usitumie mabavu. Tumia hekima. Maana, watu hawaheshimu wewe ni nani au unatoka wapi, wanaheshimu nguvu ya matendo yako. Kama una tatizo… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ukitaka kuleta mabadiliko katika dunia huna budi kubadilika wewe kwanza. Ukibadilika ukawa mwema katika jamii yako umeleta mabadiliko katika dunia.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Watu wenye ujuzi au vipaji wanatakiwa kwenda shule kusomea ujuzi au vipaji vyao – kwa miezi mitatu au sita angalau.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu akikubariki kipaji chako watu watasema ni laana. Maisha yako ni sawa na mto. Unakoelekea ni baharini. Lakini sasa umefika kwenye mlango wa bahari.… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ningependa kujitokeza leo kutoa salamu zangu za rambirambi kwa Watu wa Musoma; kutokana na ajali mbaya ya mabasi ya J4 Express, Mwanza Coach, na… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu hutumia watu 'wajinga' na 'wapumbavu' kufanya mambo makubwa katika maisha yao na ya watu wengine. Katika Biblia, Musa aliitwa mjinga alipokiuka amri ya… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mwandishi lazima awe msomaji wa kila aina ya maandishi anayoweza kusoma. Akipanua upeo wake namna hiyo, kila atakachoandika kitaacha nukuu.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Heri kuwa maskini mwenye pesa nyingi kuliko tajiri mwenye mifuko iliyotoboka.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Unapokutana na mtu, kisha mtu huyo haoneshi dalili yoyote ya kutaka kusalimiwa; je, anataka umsalimie au usimsalimie? Ndugu yangu, onesha lugha ya mwili kuonesha… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Nafasi yako peponi itapotea iwapo utamruhusu Pluto (kiongozi wa ahera) akukaribishe bazarai (makao makuu ya ahera) kwa kuchukua maisha yako mwenyewe. Kujiua ni kujipenda… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu ana mpango na maisha ya kila mtu hapa duniani bila kujali dini, jinsia, kabila, rangi, taifa, au umri, na kila mtu ni wa… — Enock Maregesi Copy Share Image
What sets worlds in motion is the interplay of differences, their attractions and repulsions. Life is plurality, death is uniformity. By suppressing differences and… — Octavio Paz Copy Share Image
What the Laws of Attraction are really about; how to harness the power of creation within you to make life what you truly desire. — Steven Redhead Copy Share Image
You are the one who calls the law of attraction into action, and you do it through your thoughts. — Rhonda Byrne Copy Share Image
The vast majority of people are born, grow up, struggle and go through life in misery and failure, not realizing that it would be… — Napoleon Hill Copy Share Image
You don't have to say it out loud. I already know why you like me.' 'You do, huh?' 'Yep.' He wrapped his arms around… — Sarah Dessen Copy Share Image
You don't have to be Sigmund Freud to surmise that war has a perverse appeal for the human race, nor is the attraction limited… — Ellen Willis Copy Share Image
It doesn't matter if they say you can't do it. It only matters if you say you can't. — Harvey Mackay Copy Share Image
If you want to find greater happiness and fulfillment in your life, you must begin to understand and live in harmony with the law… — Jack Canfield Copy Share Image
We don't need to complicate all the "reasons" behind our emotions. It's much simpler than that. Two categories .. good feelings, bad feelings. — Rhonda Byrne Copy Share Image
Focus on being grateful for what you have already .. enjoy it!! Then release into the universe. The universe will manifest it. — Rhonda Byrne Copy Share Image
I want to remind priests that the confessional must not be a torture chamber but rather an encounter with the Lord’s mercy which spurs… — Pope Francis Copy Share Image