Allegiance Quote by Enock Maregesi Download Open image ““Serikali inayodhulumu wananchi wake ni hatari kuliko simba.”” — Enock Maregesi ★ ★ ★ ★ ★ 4.4 out of 5 (8 ratings) Copy quoteShare Allegiance Basic needs Bureaucracy Citizens Civil war Constitution Country Dangerous Dictatorship Dream Economy Education Equality Ethics Food Government Government-abuse Health care Lion Oath Oppression People Politics Security Shelter Social welfare Society Tax War
“Asiyefundishwa na wazazi wake atafundishwa na dunia kwa kudharaulika.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mzazi hamjui mtoto wake na mtoto hamjui mzazi wake. Kila mtu hapa duniani ni wa kipekee na wanasayansi wanatuambia kuwa tuko peke yetu hapa… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ukimpenda mtu, akakushukuru kutoka katika sakafu ya moyo wake, hata ukifa utaendelea kuishi.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ndugu zangu, malaika wanatulinda. Wako katikati ya maadui zetu na sisi. Hatujui ni mara ngapi malaika wameingilia kati kuokoa maisha yetu, kutuepusha na nguvu… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mwandishi lazima awe msomaji wa kila aina ya maandishi anayoweza kusoma. Akipanua upeo wake namna hiyo, kila atakachoandika kitaacha nukuu.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Kuikaribisha amani ya Mungu katika maisha yangu kumenisaidia. Naishi mbinguni duniani.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“kumbuka mwaka mpya unapoanza tunauanza kwa shagwe na vigelegele lakini mwisho wake ni mateso.tujipange basi” — blasio kajuna Copy Share Image
“Kolonia Santita ni tofauti na hadithi zingine kwa sababu ya wapelelezi wake. Wapelelezi wake ni makomandoo-wapelelezi-wanajeshi.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Shetani anajua kwamba sisi ni warithi wa wokovu na kwamba dunia hii ni kitu kilichoahidiwa kwa Ibrahimu na watoto wake. Sisi wote ni watoto… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mtu aliyepoteza kazi na mke na watoto wake kuuwawa kwa mfano, watu wanapaswa kuwa makini na yeye, ana uwezo wa kufanya chochote.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Serikali imepewa mamlaka na wananchi kuwaendeshea nchi yao. Mamlaka ya wananchi hushinda ya serikali.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ukitaka kuleta mabadiliko katika dunia huna budi kubadilika wewe kwanza. Ukibadilika ukawa mwema katika jamii yako umeleta mabadiliko katika dunia.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Watu wenye ujuzi au vipaji wanatakiwa kwenda shule kusomea ujuzi au vipaji vyao – kwa miezi mitatu au sita angalau.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu akikubariki kipaji chako watu watasema ni laana. Maisha yako ni sawa na mto. Unakoelekea ni baharini. Lakini sasa umefika kwenye mlango wa bahari. Unahangaika upite wapi kufika baharini, ambapo utaogelea kwa kadiri utakavyoweza. Utakapofika baharini, watu, badala ya kusema umebarikiwa, watasema umelaaniwa, badala ya kukuita malaika, watakuita shetani. Mafanikio hayapimwi kwa pesa au mali kiasi gani unayo, mafanikio yanapimwa… — Enock Maregesi Copy Share
“Ningependa kujitokeza leo kutoa salamu zangu za rambirambi kwa Watu wa Musoma; kutokana na ajali mbaya ya mabasi ya J4 Express, Mwanza Coach, na gari ndogo aina Nissan Terrano, iliyotokea Ijumaa tarehe 5/9/2014 katika eneo la Sabasaba mjini Musoma. Kulingana na vyombo vya habari, watu 39 wamefariki dunia. Wengine wengi wamejeruhiwa vibaya. Mali za mamilioni ya fedha zimeteketea kabisa. Hii… — Enock Maregesi Copy Share
“Mungu hutumia watu 'wajinga' na 'wapumbavu' kufanya mambo makubwa katika maisha yao na ya watu wengine. Katika Biblia, Musa aliitwa mjinga alipokiuka amri ya Farao ya kuendelea kuwafanya watumwa wana wa Israeli nchini Misri; Nuhu aliitwa mpumbavu alipohubiri kwa miaka mia kuhusu gharika, katika kipindi ambacho watu hawakujua mvua ni nini; Daudi aliitwa mjinga alipojitolea kupambana na Goliati bonge la… — Enock Maregesi Copy Share
“Mwandishi lazima awe msomaji wa kila aina ya maandishi anayoweza kusoma. Akipanua upeo wake namna hiyo, kila atakachoandika kitaacha nukuu.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Heri kuwa maskini mwenye pesa nyingi kuliko tajiri mwenye mifuko iliyotoboka.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Unapokutana na mtu, kisha mtu huyo haoneshi dalili yoyote ya kutaka kusalimiwa; je, anataka umsalimie au usimsalimie? Ndugu yangu, onesha lugha ya mwili kuonesha… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Nafasi yako peponi itapotea iwapo utamruhusu Pluto (kiongozi wa ahera) akukaribishe bazarai (makao makuu ya ahera) kwa kuchukua maisha yako mwenyewe. Kujiua ni kujipenda… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu ana mpango na maisha ya kila mtu hapa duniani bila kujali dini, jinsia, kabila, rangi, taifa, au umri, na kila mtu ni wa… — Enock Maregesi Copy Share Image
I was under the influence of the early modern masters, Fitzgerald and Steinbeck and Hemingway, especially, when I was a kid. I reacted against… — Robert Stone Copy Share Image
They're counting on your patriotism to distract you from their plunder. They're counting on you to be standing at attention with your hand over… — Bill Moyers Copy Share Image
There is a congratulatory culture in the Gulf. From birth onwards, there is a culture of giving people trophies as markers of achievement for… — Ayshay Copy Share Image
In my imaginary utopian world there would be a greater allegiance between music writers and musicians. — Emily Haines Copy Share Image
Let's do more than say the 'Pledge of Allegiance.' Let us live it! — Emanuel Cleaver Copy Share Image
All of us ... should remember that no amount of flag-waving, pledging allegiance, or fervent singing of the national anthem is evidence that we… — Eleanor Roosevelt Copy Share Image
Behind the ostensible government sits enthroned an invisible government owing no allegiance and acknowledging no responsibility to the people. To destroy this invisible government,… — Theodore Roosevelt Copy Share Image
Allegiance, after all, has to work two ways; and one can grow weary of an allegiance which is not reciprocal. — Anonymous Copy Share Image
I think it is right for Canadians to be asked to show their faces when they're taking the oath. On revocation of citizenship, we… — Chris Alexander Copy Share Image
“Protesting can be as simple as not participating in the Pledge of Allegiance.” — Steven Magee Copy Share Image
Withdraw allegiance from the old categories of the Negative (law, limit, castration, lack, lacuna), which the Western thought has so long held sacred as… — Michel Foucault Copy Share Image
The inversion of external compulsion into the compulsion of conscience ... produces the machine-like assiduity and pliable allegiance required by the new rationality. — Max Horkheimer Copy Share Image