Authority Quote by Enock Maregesi Download Open image ““Rais ana mamlaka ya kusamehe jinai yoyote.”” — Enock Maregesi ★ ★ ★ ★ ★ 4.0 out of 5 (6 ratings) Copy quoteShare Authority Crime Forgive Mamlaka Power President Rais
“Serikali imepewa mamlaka na wananchi kuwaendeshea nchi yao. Mamlaka ya wananchi hushinda ya serikali.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ukiajiri ndugu usimwonee aibu! Namna hiyo ajira yake haitaathiri nguvu ya mamlaka yako.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu haamui jinsi watu wanavyoamua. Mtu akikwambia huna kipaji muulize yeye ni nani.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Aku boleh rasakan kepedihannya melihat orang yang paling disayangi mati di depan mata.” — Zint Copy Share
“Kujiingiza katika madawa ni matokeo ya maisha. Hatutumii madawa ya kulevya. Madawa ya kulevya ni sisi wenyewe; tunahitaji kusaidiwa.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Dunia imekata tamaa. Matatizo ya watu yamekuwa makubwa kuliko ukombozi wa maisha yao. Sekunde moja ya toba inaweza kukupa ufalme wa mbinguni. Hujachelewa.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Jina la Yesu ni kubwa kuliko majina yote duniani na hata kuzimu. Lazima Shetani aliogope kuliko anavyomwogopa Bikira Maria au sakramenti za aina zote.… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Shetani hawezi kuona wala kusikia kinachoendelea ndani ya moyo wako.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ukitaka kuleta mabadiliko katika dunia huna budi kubadilika wewe kwanza. Ukibadilika ukawa mwema katika jamii yako umeleta mabadiliko katika dunia.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Watu wenye ujuzi au vipaji wanatakiwa kwenda shule kusomea ujuzi au vipaji vyao – kwa miezi mitatu au sita angalau.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu akikubariki kipaji chako watu watasema ni laana. Maisha yako ni sawa na mto. Unakoelekea ni baharini. Lakini sasa umefika kwenye mlango wa bahari.… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ningependa kujitokeza leo kutoa salamu zangu za rambirambi kwa Watu wa Musoma; kutokana na ajali mbaya ya mabasi ya J4 Express, Mwanza Coach, na… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu hutumia watu 'wajinga' na 'wapumbavu' kufanya mambo makubwa katika maisha yao na ya watu wengine. Katika Biblia, Musa aliitwa mjinga alipokiuka amri ya… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mwandishi lazima awe msomaji wa kila aina ya maandishi anayoweza kusoma. Akipanua upeo wake namna hiyo, kila atakachoandika kitaacha nukuu.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Heri kuwa maskini mwenye pesa nyingi kuliko tajiri mwenye mifuko iliyotoboka.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Unapokutana na mtu, kisha mtu huyo haoneshi dalili yoyote ya kutaka kusalimiwa; je, anataka umsalimie au usimsalimie? Ndugu yangu, onesha lugha ya mwili kuonesha… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Nafasi yako peponi itapotea iwapo utamruhusu Pluto (kiongozi wa ahera) akukaribishe bazarai (makao makuu ya ahera) kwa kuchukua maisha yako mwenyewe. Kujiua ni kujipenda… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu ana mpango na maisha ya kila mtu hapa duniani bila kujali dini, jinsia, kabila, rangi, taifa, au umri, na kila mtu ni wa… — Enock Maregesi Copy Share Image
I don't believe in competitions between artists. This is insane. Who has the authority to say someone is better? — Alan Arkin Copy Share Image
Islam never differentiates between men and women as regards political rights and puts them on an equal footing. However, even if a woman is… — Yusuf al-Qaradawi Copy Share Image
I think people need to be comfortable questioning the authority of a doctor. — Susannah Cahalan Copy Share Image
At a distance, we cannot conceive of the authority of a despot who knows all his subjects on sight. — Stendhal Copy Share Image
Throughout human history, as our species has faced the frightening, terrorizing fact that we do not know who we are, or where we are… — Timothy Leary Copy Share Image
“I'm of the age and immaturity level that I cannot give you my respect solely because you are older or ranked higher on an… — Erica Goros Copy Share Image
In the end theologians are jealous of science, for they are aware that it has greater authority than do their own ways of finding… — Jerry A. Coyne Copy Share Image
Every wife ought to answer for her man. If the husband be engaged in a seditious club, or drinks mysterious healths, or be frugal… — Joseph Addison Copy Share Image
Miracles are like candles lit up until the sun rises, and then blown out. Therefore, I am amused when I hear sects and churches… — Henry Ward Beecher Copy Share Image
The execution was set for the 29th of March, at nine in the morning. This delay was due to a desire on the part… — Jorge Luis Borges Copy Share Image
I started with the belief that every person who came to the laboratory was free to accept or to reject the dictates of authority.… — Stanley Milgram Copy Share Image
The rationale which accompanies that imposition of male authority euphemistically referred to as 'the battle of the sexes' bears a certain resemblance to the… — Kate Millett Copy Share Image