Damage Quote by Enock Maregesi Download Open image ““Fikiria kwanza maana ya unachosema. Halafu sema.”” — Enock Maregesi ★ ★ ★ ★ ★ 2.8 out of 5 (6 ratings) Copy quoteShare Damage Foolishness Harm Head Mouth Think Wisdom
“Kitu cha kwanza jiulize unataka nini. Halafu omba, kwa mungu yoyote unayemwamini. Kisha amini, kwamba umepata, hadi utakapopata.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Neno moja kutoka mdomoni mwako linaweza kukuletea madhara makubwa. Waweza kusema kitu ukadhani umepatia kumbe umeharibu. Fikiria kwanza maana ya kitu unachosema, halafu sema.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Hata kama umetajirika kiasi gani mpe Mungu kipaumbele cha kwanza katika kila jambo unalofanya. Toa zaka na sadaka na jitolee katika mambo yote yanayompendeza… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Endeleza nafsi yako katika kujitegemea, kwani ukishaifundisha nafsi yako kujitegemea hutamtegemea mtu.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Iwapo kila mtu atamheshimu mwenzake kama anavyojiheshimu mwenyewe; tunaweza kuishi mbinguni duniani ... lakini kwanza tuwe na maarifa binafsi.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Neno moja kutoka mdomoni mwako linaweza kukuletea madhara makubwa. Fikiria kwanza maana ya kitu unachofikiria (ambacho tayari umekisema kichwani mwako) kabla ya kukisema tena… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Kitu cha kwanza kufanya kama umeamua kuficha ukweli wape watu ukweli mwingine kulinda thamani ya utu wako.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Kuwa tajiri si kazi rahisi. Ukipata milioni ya kwanza utataka nyingine kulinda hiyo ya kwanza. Ukipata ya pili utataka mbili zingine kulinda hizo mbili… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Kitu cha kwanza kufanya kama umeamua kuficha ukweli wape watu ukweli mwingine.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ukitaka kuleta mabadiliko katika dunia huna budi kubadilika wewe kwanza. Ukibadilika ukawa mwema katika jamii yako umeleta mabadiliko katika dunia.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Watu wenye ujuzi au vipaji wanatakiwa kwenda shule kusomea ujuzi au vipaji vyao – kwa miezi mitatu au sita angalau.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu akikubariki kipaji chako watu watasema ni laana. Maisha yako ni sawa na mto. Unakoelekea ni baharini. Lakini sasa umefika kwenye mlango wa bahari.… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Ningependa kujitokeza leo kutoa salamu zangu za rambirambi kwa Watu wa Musoma; kutokana na ajali mbaya ya mabasi ya J4 Express, Mwanza Coach, na… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu hutumia watu 'wajinga' na 'wapumbavu' kufanya mambo makubwa katika maisha yao na ya watu wengine. Katika Biblia, Musa aliitwa mjinga alipokiuka amri ya… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mwandishi lazima awe msomaji wa kila aina ya maandishi anayoweza kusoma. Akipanua upeo wake namna hiyo, kila atakachoandika kitaacha nukuu.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Heri kuwa maskini mwenye pesa nyingi kuliko tajiri mwenye mifuko iliyotoboka.” — Enock Maregesi Copy Share Image
“Unapokutana na mtu, kisha mtu huyo haoneshi dalili yoyote ya kutaka kusalimiwa; je, anataka umsalimie au usimsalimie? Ndugu yangu, onesha lugha ya mwili kuonesha… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Nafasi yako peponi itapotea iwapo utamruhusu Pluto (kiongozi wa ahera) akukaribishe bazarai (makao makuu ya ahera) kwa kuchukua maisha yako mwenyewe. Kujiua ni kujipenda… — Enock Maregesi Copy Share Image
“Mungu ana mpango na maisha ya kila mtu hapa duniani bila kujali dini, jinsia, kabila, rangi, taifa, au umri, na kila mtu ni wa… — Enock Maregesi Copy Share Image
A poet is wounded into speech, and he examines these wounds, meticulously, to discover how to heal them. The bad poet harangues at the… — Samuel R. Delany Copy Share Image
I think what bothers us about fighting sports isn't the damage to the athlete but the fact that you win by doing more harm… — Jonathan Gottschall Copy Share Image
I was told I had brain damage. I always knew it was an unfair label. Now I have a clearer understanding of what's wrong… — Susan Boyle Copy Share Image
How strange that something so simple could have been instrumental in my decision to ruin one of my most relationships and friendships, and damage… — Veronica Roth Copy Share Image
The miracle drugs (neuroleptics) cause the worst plague of brain damage in medical history. — Peter Breggin Copy Share Image
The socially redeeming aspect of golf lies in the vast number of lawyers and bankers and managers who play it, and when you think… — Garrison Keillor Copy Share Image
Gun control laws don't work. What is worse, they act perversely. While legitimate users of firearms encounter intense regulation, scrutiny and bureaucratic control, illicit… — Daniel D. Polsby Copy Share Image
The pace of global warming is accelerating and the scale of the impact is devastating. The time for action is limited - we are… — Eliot Spitzer Copy Share Image
My first job was a film called 'Storm Damage' for the BBC. I was 16 and working with really respected British actors. I didn't… — Ashley Madekwe Copy Share Image
But people only die in proper duels, you know, with real wizards. The most you and Malfoy’ll be able to do is send sparks… — Anonymous Copy Share Image
President Obama has never summarized the Obama Doctrine with such clarity, but here is what it would look like: 'I will undertake any military… — Elliott Abrams Copy Share Image
The superpowers often behave like two heavily armed blind men feeling their way around a room, each believing himself in mortal peril from the… — Anonymous Copy Share Image