"Siasa sio mbaya ila wabaya ni wanasiasa." — Lc The DreamKid
"Siasa sio mbaya ila wabaya ni wanasiasa."
—
Lc The DreamKid
★
★
★
★
★
0.0 avg (0 ratings)
27 Quotes by Lc The DreamKid
Lc The DreamKid has 27 quotes on this site.
A few more worth reading:
-
They believe Tanzania it's a key, and I'm the key to Tanzania.
-
Uishiwapo neno la kusema, ni kheri ukanyamaza.
-
Ubaya ama uzuri wa mtu haupimwi kwa muonekano wake, bali ni kwa matendo yadhahiri ya mtu.
-
Hakuna kikaukacho haraka kama machozi.
-
Saa moja ukaayo na maumivu ni refu kuliko siku nzima iliyo na furaha.
-
Maisha ya uhakika tuishio ni yale tuishio pamoja na nafsi zetu na sio tuwapo mbele za watu.
-
Jichunguze, pengine wewe, si kama ulivyo.
-
Kuusikitikia sana muda uliopita ni dalili tosha ya kuwa hatuujali wakati tulionao.
-
Anza kujenga wakati ujao, badala ya kuusifia uliopita.
-
Kwa mara nyingi, Kutoa nasaha baada ya tukio, ni sawa na kumpa majeruhi (mgonjwa) dawa baada ya kifo.
-
Umri, unatufundisha zaidi na mengi kuliko hata vitabu.
-
Kujiepusha na kidogo chenye kuumiza ni bora, kuliko kuwa na kingi chenye kukufurahisha.
See all 27 quotes by Lc The DreamKid »
More Mbaya Quotes
This quote is filed under Mbaya Quotes,
one of 4 quotes in that category. Here are a few more:
See all 4 Mbaya Quotes »