Binadamu Quotes
- Hakuna binadamu mwenye mamlaka sawa na mungu — Bob Riza
- Kama ukimwi ungekuwa binadamu basi ungekuwa na dhambi nyingi sana — Bob Riza
- Japokuwa pombe ni mbaya lakini ina faida katika maisha ya binadamu — Bob Riza
- Binadamu wote ni sawa haijalishi rangi, kabila au utaifa — Bob Riza