Na Sio Quotes
- Maisha ya uhakika tuishio ni yale tuishio pamoja na nafsi zetu na sio tuwapo mbele za watu. — Lc The DreamKid
- Mke hanapenda mabusu na sio makofi — Bob Riza
- Raha ya mapenzi ni kuwa huru na sio uwoga na wasiwasi — Bob Riza
- Imani ipo moyoni na sio machoni — Bob Riza