Maisha Quotes
- Maisha ya uhakika tuishio ni yale tuishio pamoja na nafsi zetu na sio tuwapo mbele za watu. — Lc The DreamKid
- Wasiokujua wanaishia kutaka kukujua kupitia kwa wasiokujua kwa kutaka taarifa za maisha yako yale wasiyoyajua. — Lc The DreamKid
- Safari ya mipango na malengo katika maisha ni ndefu, lakini lazima ufike kwa uwezo wa YEYE MUWEZA wa YOTE.... By Daudi Bilingi. a.k.a DAV THE… — Daudi Bilingi
- Maisha yangekuwa sumu watu wengi tungekufa — Bob Riza
- Maisha yangu ni yangu hivyo usinifatilie nachokifanya — Bob Riza
- Japokuwa pombe ni mbaya lakini ina faida katika maisha ya binadamu — Bob Riza
- Maisha ya muafrika ni kama vazi la malaya anayejiuza — Bob Riza
- Wakati wa usiku alikuwa kijana mimi nilikuwa pale Wakati kila mtu kuona mimi kwa ambaye nilikuwa, nilikuwa huko Wakati wewe inaonekana juu kutoka mbali nilikuwa… — Jess Jessenia