Hata Quotes
- Umri, unatufundisha zaidi na mengi kuliko hata vitabu. — Lc The DreamKid
- Watu wema, ni wale wanaojali uwapacho hata kama ni kidogo.. — Lc The DreamKid
- Fuck wat a hata say! — Lil Boosie
- Hata raisi naye huwa anaenda msalani na anafurahi au kununa kama mtu wa kawaida — Bob Riza
- Mchawi wako anaweza kuwa hata ndugu yako wa damu — Bob Riza
- Mama ni mama hata akiwa kilema — Bob Riza
- Mchawi ni mjinga siku zote kwa kuwa haibi mali bali anakutesa tu hata kama ni masikini — Bob Riza
- Mke ni mke hata kama hana jicho — Bob Riza