Duniani Quotes
- Tunaishi duniani hali ya kutenda maovu usiku na mchana na kudhani kuwa tutaipata pepo hali ya kusahau kuwa Adam kosa 1 tu ndipo lilomtoa peponi. — Lc The DreamKid
- Tunaishi duniani hali ya kutenda maovu usiku na mchana na kudhani kuwa tutaipata pepo hali ya kusahau kuwa Adam kosa moja tu ndilo lililomtoa peponi. — Lc The DreamKid
- Hakuna makalio yaliyochongoka 'nenda popote pale duniani hutoyakuta — Bob Riza